Kabla ya kutimka kwa aliyekuwa kocha wa Yanga, Sead Ramovic hakuwahi kumchezesha winga mpya wa timu hiyo, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ na kuibua maswali itakuwaje baada ya jamaa kusepa?
Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, Nargis Omar(70) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka mawili ya ...
Iwapo wazazi watazingatia malezi kwa siku 1000 za kwanza zitasaidia kumkinga mtoto na maradhi 13 ikiwamo kupunguza vifo vya ...
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka vijana nchini waliobahatika kuwa na wazazi walio hai kujenga utamaduni wa ...
Mawaziri wameshambulia kujibu hoja za wabunge, huku Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo akitaja mikakati ya ...
Januari 23, 2024, Baraza la Mitinani la Tanzania (Necta) lilitangaza matokeo ya kidato cha nne yaliyoonyesha shule 110 zilifaulu kwa kupata umahiri wa daraja A.
Serikali imezialika sekta binafsi, hususan wamiliki na waendeshaji wa viwanda juu ya fursa mpya ya kutumia mabaki ya ...
Mkuu wa Shule ya Sekondari Ormelili, Hapriday Msomba amewataka wanafunzi wa shule hiyo kutokaa kimya bali wapaze sauti dhidi ...
Mboga za majani na matunda ni sehemu muhimu katika mlo wa kila siku, hasa kwa watoto wanaoendelea kukua na wenye kisukari.
“Kuvunja ungo na kukomaa, hatua ya pili ni kuona nywele sehemu za siri na kuona matiti. Lakini kule kuona nywele na kuona ...
Kauli ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuchukua eneo la Gaza na kuibadilisha kutoka magofu kuwa bustani ya Paradiso imetajwa kuzua hofu ya kuongeza joto la mgogoro kati ya Palestina na Israel.
Watafiti waligundua kuwa unywaji wa glasi moja ya maji kunazuia usagaji wa sumu mwilini na kuipunguzia mzigo figo.