Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa Wilaya ya Temeke, Hashim Mziray amemtangaza Mohamed Saleh Mohamed kuwa ndiye Mwenyekiti wa chama cha soka wilayani humo (TEFA) baada ya kushinda ...
Unaweza kusema rungu la FIFA limeigusa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ baada ya kutangazwa uamuzi wa kuifungia Congo ...
Kitendo cha mwamuzi Abel William wa Arusha jana kumuonyesha kadi mbili (ya njano na nyekundu) kwa pamoja kipa wa Fountain Gate, John Noble katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyomalizika kwa sare ...
Serikali ya Kenya inatarajia kumaliza ukarabati wa Uwanja wa Moi Kasarani mwezi Aprili. Uwanja huu wenye uwezo wa kuchukua ...
Mwandishi mahiri wa riwaya nchini, Faki A. Faki anakuja na mzigo mpya kabisa wa kisa cha upelelezi, mapenzi na maisha ya ...
KOCHA wa Fenerbahce, Jose Mourinho alimpiga kibao Mkalimani wake baada ya kufanya makosa katika mkutano na waandishi wa habari.
Staa wa Brazil Neymar, jana alicheza mchezo wake wa kwanza wa Ligi Kuu ya nchi hiyo akiwa na Santos na kuisaidia timu yake kupata sare ya bao 1-1kwenye mechi iliyopigwa katika Uwanja wa ...
Baada ya kuiondoa Tottenham Hotspur katika nusu fainali ya Kombe la Carabao sasa Liverpool itavaana na Newcastle katika ...
KOCHA wa Fenerbahce, Jose Mourinho alimpiga kibao Mkalimani wake baada ya kufanya makosa katika mkutano na waandishi wa ...
Meneja habari na mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amemtaka winga Ladack Chasambi asivurugwe na bao alilojifunga kwenye mchezo ...
MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ...
Hii hapa ratiba ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 iliyofanyiwa maboresho. Hatimaye sakata la wachezaji watatu nyota wa timu ...